Habari kuhusu Wanawake na Jinsia
Kwa Mara ya Kwanza katika Historia ya Nchi, Mwanamke Aongoza Chuo Kikuu cha Umma Msumbiji
Nafasi yake ya Mkuu wa Chuo kikuu cha umma ni sawa na nafasi ya waziri katika Msumbiji.
Mtunga Sheria wa Kike wa Brazili Ashambuliwa Mitandaoni Kwa Kuvaa Nguo Zinazoonesha Maumbile
"Ushiriki wa wanawake wenye jamii ni mdogo kiasi kwamba suala la mavazi linaweza kukuzwa kupindukia."
Namna Utoaji Bure wa Kifungua Kinywa Nchini Yemen Ulivyorudisha Wasichana 500 Shuleni
Kabla ya mradi kuanza, moja ya tano ya wanafunzi walikuwa wahahudhurii. Sasa, wote wamerudi darasani.
Mamlaka za Iran Zawakamata ‘Watumiaji wa Instagram’ katika harakati za Kudhibiti Mitandao ya Kijamii

Mamlaka ya Irani yatangaza kuondoa Instagram kwa sababu ya maovu ya "watumiaji mashuhuri wa Instagram". Siku chache baadaye, shirika la utangazaji la serikali afichua kukamatwa kwa "watumiaji mashuhuri wa Instagram."
Watumiaji wa Mitandao ya Kijamii Wapinga Udhalilishaji Nchini Pakistani -Lakini Je Taasisi za Serikali Zitatimiza Wajibu Wake?

Kukamatwa kwa Aimal Khan kufuatia kilio kilichoanzia kwenye mitandao ya kijamii ni dalili nzuri. Lakini je, haki itatendeka?
Waganda Wasema Hapana Dhidi ya Kodi ya Mitandao ya Kijamii Kwa Sababu Inawanyonya Wanawake, Vijana na Maskini

Waganda wanasema #HapanaKwaKodiYaMitandaoKijamii kwa sababu iko kinyume na katiba, inaongeza umasikini, inawalenga vijana na inakuza ubaguzi katika jamii.