Habari kuhusu Wanawake na Jinsia kutoka Agosti, 2017
Kupiga Marufuku Wasichana Waliozaa Kurejea Masomoni, Inaweza Isiwe Suluhisho la Mimba Mashuleni.
Rais John Magufuli amezionya asasi za kiraia nchini Tanzania kwa kuwatetea wasichana wanaopata ujauzito kurudi shuleni, akisema kwamba kufanya hivyo 'kutamomonyoa maadili' nchini Tanzania.
Waziri Mkuu Mwanamke wa Kwanza wa Jamaica Astaafu Akisifiwa, Akikoselewa — na Mjadala wa Nani Atakuwa Mrithi Wake
"Portia Simpson aliingia kwenye siasa za uwakilishi kwa ngazi ya bunge mwaka 1976 ambapo siasa na ukabila na ghasia zilikuwa na nafasi kubwa."