· Agosti, 2010

Habari kuhusu Wanawake na Jinsia kutoka Agosti, 2010

Korea Kusini: Maombolezo ya Kitaifa ya Mwanamwali wa Kivietnam

  8 Agosti 2010

Mwanamwali mdogo wa Kivietnam aliuwawa na mumewe wa Kikorea nchini Korea. Wanablogu wa Korea wanatoa rambirambi zao kwa kifo kibaya cha mke huyo mwenye umri mdogo huku wakiitaka serikali kutokomeza eneo hili lisiloonekana kwa urahisi la haki za binaadamu, linalohusiana na wachumba kutoka nchi za kigeni.