· Novemba, 2014

Habari kuhusu Wanawake na Jinsia kutoka Novemba, 2014

Kuelimisha Wasichana Leo, Kuwawezesha Wanawake Kesho

  13 Novemba 2014

Marita Seara, anayeblogu kwenye Voces Visibles (Sauti Zinazoonekana), anatukaribisha kutafakari suala la ubaguzi unaowaathiri wasichana na vijana wanaopevuka —kupata elimu– na hitaji ya kuwaelimisha wasichana wetu leo ili waweze kuwa wanawake waliowezeshwa kesho na keshokutwa. Kwa mujibu wa takwimu za shirika la kutetea haki za binadamu duniani Amenisty International, wasichana...