Habari kuhusu Wanawake na Jinsia kutoka Novemba, 2014
Kuelimisha Wasichana Leo, Kuwawezesha Wanawake Kesho
Marita Seara, anayeblogu kwenye Voces Visibles (Sauti Zinazoonekana), anatukaribisha kutafakari suala la ubaguzi unaowaathiri wasichana na vijana wanaopevuka —kupata elimu– na hitaji ya kuwaelimisha wasichana wetu leo ili waweze kuwa wanawake waliowezeshwa kesho na keshokutwa. Kwa mujibu wa takwimu za shirika la kutetea haki za binadamu duniani Amenisty International, wasichana...