Habari kuhusu Wanawake na Jinsia kutoka Julai, 2018
Waganda Wasema Hapana Dhidi ya Kodi ya Mitandao ya Kijamii Kwa Sababu Inawanyonya Wanawake, Vijana na Maskini
Waganda wanasema #HapanaKwaKodiYaMitandaoKijamii kwa sababu iko kinyume na katiba, inaongeza umasikini, inawalenga vijana na inakuza ubaguzi katika jamii.
Nchini Ecuador, Binti Ashinda Haki ya Kutumia Ubini wa Mama Zake Wawili
"Satya, Helen, na Nicola, wamepambana kutimiza ndoto yao ya kuwa na furaha ya familia na hatimaye wamevunja viambaza vya kutengwa na kufanikiwa kujipatia haki ya kuwa sehemu ya familia."
Waganda Wafanya Maandamano ya Amani Mitaani kwa Kuchoshwa na Mauaji ya Wanawake
"Kwa hiyo naandamana, niwakumbuke, hawakupewa haki yoyote na hakuna aliyekamatwa kwa ajili ya vifo hivi vya kutisha. Lakini nawathamini."