· Aprili, 2014

Habari kuhusu Wanawake na Jinsia kutoka Aprili, 2014

Hadhi ya Wanawake Katika Jamii ya Kihindi Leo

  29 Aprili 2014

Transhuman Collective (THC), mwanafunzi aliyepikwa na Soham Sarcar & Snehali Shah, ni mradi wa taaluma shirikishi unaongozwa na falsafa yaTranshumanism. Katika video hii iliyotengenezwa na kupandishwa kwenye mtandao wa YouTube na Transhumanism inaonyesha kuwa kunakosekana heshima ya msingi kwa wanawake katika jamii ya Kihindi iliyokithiri mfumo dume. Video hii inachangia...

Hedhi Sio Siri ya Aibu. Tuzungumzie Siku Zetu kwa Uwazi

  26 Aprili 2014

“Kwa nini wanawake hawapendi kuzungumzia hedhi?” anauliza Sourav Kumar Panda kwenye tovuti ya Youth Ki Awaaz na anaendelea kujadili/a> kuwa kwenye siku hizi na zama za leo, kuendelea kuifanya hedhi kuwa suala la kuficha haina maana -wakati umefika kwetu kuvunja kimya na kuacha woga wa mila za jamii zetu kuhusiana...

Urabuni: Hijab na Ubaguzi wa Kimagharibi

Mwanablogu wa Mirsi Nadia El Awady anaandika posti ya blogu yake ambapo anahoji kama wanawake wanaovaa Hijabu wanabaduliwa kwenye nchi za magharibi ama la. Nadia, kama Mmisri alikulia Marekani na ameishi kwa kipindi kirefu Ulaya, anaelezea uzoefu wake kuhusu mwitikio alioupata kwenye nchi za Mashariki na Magharibi linapokuja suala la...