Habari Kuu kuhusu Vijana
Habari kuhusu Vijana
Je Sera ya Lugha Tanzania inabagua lugha za asili?
Kuna takribani lugha 150 nchini Tanzania, lakini lugha ya Kisawhili imepewa upendeleo mkubwa, hasa katika muktadha wa elimu ya msingi. Wanazuoni Hannah Gibson (Chuo Kikuu cha Essex) na Gastor Mapunda (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) wanatoa maoni yao kwa ufupi kuhusu hali hii kwa kutumia matokeo ya utafiti unaochunguza...
‘Mnao uwezo mkubwa na kuzidi’
"Siwezi kunyamazia mfumo wa elimu unaozidisha matarajio yanayoadhibu na kufedhehesha watoto wa taifa hili."
Wanafunzi na Mwalimu Wao Watekwa Huko Kaduna Naijeria, Wakati Maharamia Wenye Silaha Wakifanya Vurugu na Mauaji
Maharamia wenye silaha waliowateka wanafunzi wanne na mwalimu wao kutoka Damba-Kasaya, jimbo la Kaduna nchini Nigeria wanadai fedha ili waweze kuwaachilia huru mateka hao
Makubaliano Ya Amani Ya Kihistoria Nchini Sudani Yafanyika Kukiwa na Mafuriko Ya Kihistoria
Makubaliano ya amani ya Kihistoria ya vikundi vya waasi Sudani yamefanyika kukiwa na mafuriko ya Kihistoria yaliyosababisha majanga. Nini hasa mkakati wa serikali kuyarahisisha maisha?
Rais Wa Umoja Wa Wanafunzi Wa Thailand Akamatwa Kwa Kushiriki Maandamano Ya Kuipinga Serikali
“Rangi inaweza kusafishwa, lakini hauwezi kusafisha uonevu.”
Shule pekee ya muziki Zanzibar hatarini kufungwa
Kwa zaidi ya wanafunzi 1,800 waliowahi kupitia mafunzo ya shule ya DCMA, hii ndiyo shule pekee ya muziki wanayoifahamu, ambako wanaweza kujifunza na kukua kama wasanii na wanamuziki mahiri.
Vyombo Vya Habari Vya Serikali Vinamshambulia Mwanafunzi wa Shule ya Upili Ambaye Aliikosoa Serikali
Nagy amevumilia ukosoaji dhidi ya uelewa wake na hata udhalilishwaji wa kijinsia, wakati ambapo chombo kimoja kinachoiunga serikali kilimtukana matusi ya nguoni.
Nchini Burundi Kuchorachora Picha ya Rais —ni Kosa la Kukupeleka Jela
"Kama ningefanya katika Burundi ya Nkurunziza, ningeweza kufungwa jela."
Namna Utoaji Bure wa Kifungua Kinywa Nchini Yemen Ulivyorudisha Wasichana 500 Shuleni
Kabla ya mradi kuanza, moja ya tano ya wanafunzi walikuwa wahahudhurii. Sasa, wote wamerudi darasani.
Waganda Wasema Hapana Dhidi ya Kodi ya Mitandao ya Kijamii Kwa Sababu Inawanyonya Wanawake, Vijana na Maskini
Waganda wanasema #HapanaKwaKodiYaMitandaoKijamii kwa sababu iko kinyume na katiba, inaongeza umasikini, inawalenga vijana na inakuza ubaguzi katika jamii.