· Novemba, 2009

Habari kuhusu Vijana kutoka Novemba, 2009

Azerbaijan: Baada ya Hukumu ya Wanablogu wa Video

  23 Novemba 2009

Siku chache baada ya hukumu ya vijana wanaharakati wawili wa blogu za video huko Azerbaijan, wanablogu wengine wanaanza kuongea kwa sauti juu ya kifungo cha Adnan Hajizade na Emin Milli. Wanaharakati hawa wa mtandaoni watatumikia vifungo vya miaka miwili na mwingine miaka miwili na nusu gerezani baada ya mashitaka ambayo...