Habari kuhusu Vijana kutoka Disemba, 2012
Walimu wa Mauritania Wavunja Ofisi ya Waziri wa Elimu
Kundi la walimu wa sekondari lilivunja na kuingia kwenye ofisi ya Waziri wa Elimu katika maandamano ya kipinga kuhamishwa kiholela kwa walimu wapatao 120 baada ya kushiriki kwao mgomo uliofanyika mwaka jana.
Utambulisho wa Jamii ndogo ya Balkan
Waandishi vijana kumi na watano kutoka katika nchi zipatazo sita tofauti wametengeneza mfululizo wa masimulizi binafsi kuhusu masuala ya namna jamii zenye watu wachache (kwa mapana yake) zinavyoweza kuwakilishwa kutoka...