· Februari, 2014

Habari kuhusu Vijana kutoka Februari, 2014

Upasuaji wa Kwanza wa Moyo Kongo Brazzaville

Mtandao wa kimataifa wa Afya La Chaîne de l’Espoir (Maana yake Kiungo cha Matumaini) unaripoti kuwa watoto saba wa ki-Kongo waliokuwa na hali mbaya wamenufaika na upasuaji wa moyo [fr] uliofanyika Februari 14 mjini Brazzaville, Kongo. Kwa msaada wa Msaidizi wa Kongo Shirika lenyewe, Prince Béni na Maya, wote wakisumbuliwa na...

VIDEO: Kuelekea Mfumo wa Haki na Jumuishi Nchini Chile

  20 Februari 2014

Katika video hiyo hapo juu iliyowekwa na Mfuko wa Jamii Wazi , Giorgio Jackson, kiongozi wa zamani wa wanafunzi na mbunge mpya kabisa nchini Chile, anajadili mfumo wa elimu nchini mwake na maanaa hasa ya kuwa “jamii wazi”. Trine Petersen anaandika: Mfumo wa haki na jumuishi unaoifanya elimu ipatikane kwa...