Habari kuhusu Gambia
Taarifa ya Raia Mtandaoni: Hukumu ya Mahakama Kuu ya Gambia yaacha Mashaka juu ya Uhuru wa Kutoa Maoni

Taarifa ya Advox Kuhusu Raia wa Mtandaoni inakupa mhutasari wa habari za kimataifa kuhusu changamoto, mafanikio na yanayoendelea kuhusu haki za mtandaoni duniani kote
Hofu ya Mkono wa Sheria? Kujitafutia Uhuru? Raia wa Gambia Wahoji Nchi yao Kujiondoa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai
"Kikwazo!! #Gambia yajiondoa ICC. Hii ni kutokana na hofu ya dikteta kwamba waziri wake wa ndani wa zamani atamponza katika kupata hifadhi"
Gambia Yajitoa Jumuiya ya Madola, Yaiita Jumuiya Hiyo ‘Ukoloni Mambo-Leo’
"Gambia haitakuwa mwanachama wa taasisi yoyote ya ukoloni mambo-leo," nchi hiyo ya Afrika Magharibi ilitangaza katika tamko lake la wiki hii.