Habari Kuu kuhusu Naijeria
Habari kuhusu Naijeria
Wanafunzi na Mwalimu Wao Watekwa Huko Kaduna Naijeria, Wakati Maharamia Wenye Silaha Wakifanya Vurugu na Mauaji
Maharamia wenye silaha waliowateka wanafunzi wanne na mwalimu wao kutoka Damba-Kasaya, jimbo la Kaduna nchini Nigeria wanadai fedha ili waweze kuwaachilia huru mateka hao
#MatrikiUtambulisho: Mazungumzo ya Twita yanayoangazia utambulisho na haki za kidijitali barani Africa
Wanaharakati kutoka Burkina Faso, Nijeria, Afrika Kusini na Kenya, wataongoza mazungumzo kwenye mitandao ya kijamii kwa kutumia lugha zao za asili kuhusu masuala ya lugha, makabila na haki za kidijitali barani Afrika.
Jean-Jacques Muyembe-Tamfum: Mwanasayansi wa Congo Aliyegundua Tiba ya Ebola
Mwanasayansi huyu amegundua dawa ya kutibu ugonjwa wa Ebola. Je, jina lake litashika vichwa vya habari kwa mapana katika vyombo vya habari kama ilivyo kwa habari kuhusu ugonjwa wenyewe?
Umri Mkubwa, Hotuba Za Chuki Uhuru wa Habari: Ajenda Kuu Katika Uchaguzi wa Rais Nigeria 2019
Katikati ya sintofahamu ya kampeni za uchaguzi wa Naijeria — mitaani na mitandaoni — hapa ni baadhi ya masuala yanayoweza kusahaulika katika uchaguzi wa mwaka huu.
Wafahamu Wagombea wa Kiti cha Urais Naijeria katika Uchaguzi wa 2019
Mpambano wa kuwania Ikulu ya Aso Rock — nafasi ya Urais wa Naijeria. Wafahamu wagombea wa uraisi kwenye kiti cha Rais.
Mpambano wa Majenerali Wastaafu wa Jeshi la Naijeria na Mchango wao Katika Uchaguzi wa Rais 2019
Olusegun Obasanjo, mwanajeshi wa zamani aliyepata kuwa mkuu wa na baadae kuwa rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia, amekuwa akisikika akiwakosoa watawala wa Naijeria.
Polisi wa Nigeria Wamkamata Mwandishi wa Habari na Kaka Yake kwa Makala ya Gazeti Ambayo Hata Hivyo Hawakuiandika
"Polisi hawana mamlaka ya kuvamia nyumba za waandishi wa habari na kuwafungia kwa sababu tu kuna afisa wa serikali hapendi kile kilichoandikwa kwenye gazeti."
Kwanini Serikali za Afrika Zinapinga na Uhuru wa Vyombo vya Habari na Kutoa Maoni? Inawezekana Sababu ni Nguvu Kubwa Nyuma Yake
Kelele tunazopiga kwenye majukwaa ya kidijitali zinawaogopesha watawala kandamizi. Kuna visa kadhaa vya watawala kuchukua hatua kuzima kelele hizo.
Rais wa Naijeria Asema Panapomfaa Mkewe ‘ni Jikoni’ na Kwenye ‘kile Chumba Kingine’
"Sijui mke wangu ni mfuasi wa chama gani cha siasa, lakini ninachojua mahali pake ni jikoni na kwenye kile chumba kingine" alisema rais.
Nchini Naijeria, Unaweza Kukamatwa kwa Kumwita Mbwa Jina Linalofanana na la Rais
"Yeyote ambaye ana mashaka kuhusu kesi hii kuhusishwa na siasa anapaswa kuifuatilia dhamira yake kwa ukaribu kabisa."