Habari kuhusu Afrika Kusini kutoka Disemba, 2013
Mandela na Mao, Hawakushabihiana sana.
Jeremiah kutoka katika studio ya Granite atoa maoni yake kwenye Televisheni ya Taifa ya China, CCTV akitaka kuonesha uhusiano uliokuwepo kati ya Mandela na Mao Zedong: Mandela hakushabihiana sana na Mao. Mao alikuwa muumini wa udhanifu kama tafsiri ya neno linavyotanabaisha, mtu aliyeamini kuwa, mchakato wa utendaji wa jambo ndilo...
Wanaijeria Wamkumbuka Nelson Mandela
Nelson Mandela, mzalendo mpendwa na mshindi wa tuzo ya Amani ya Nobel, amefariki Desemba 5, 2013. Wanaijeria wanakumbuka kumbumbuku iliyoachwa nyuma na Rais huyo wa kwanza wa Afrika Kusini
Hekima 17 za Nelson Mandela Zinazofaa Kusomwa na Kila Mmoja
Nelson Mandela, Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, anaendelea kuzungumza na ulimwengu kupitia watumiaji wa mtandao wa twita waliopokea taarifa za kifo chake kwa kusambaza nukuu za maneno yake ya kukubukwa.