· Januari, 2012

Habari kuhusu Mahusiano ya Kimataifa kutoka Januari, 2012

Venezuela: Ziara ya Mahmoud Ahmadinejad Yaibua Utata

Rais wa Iran, Mahmud Ahmadinejad, aliwasili nchini Venezuela Jumapili, Januari 8, katika kituo chake cha kwanza cha ziara ya ya nchi kadhaa za Marekani ya Kusini. Ziara yake imechochea miitiko mikali kweny mitandao ya kijamii, ambako watumiaji wanahoji kama uwepo wake unaweza kuwa na faida yoyote kwa taifa.

25 Januari 2012