Habari Kuu kuhusu Bangladesh
Habari kuhusu Bangladesh
Kikundi cha ki-Islam Chadai Kuondolewa kwa Sanamu Mbele ya Mahakama Kuu Nchini Bangladesh
Mamlaka zimepewa chini ya juma moja kufanyia kazi madai ambayo wakuu wa serikali na watumiaji wa wanayaona kama hayana maana
Serikali ya Bangladesh Yazima Mitandao ya Intaneti na Kufungia Tovuti 35
“Kama sehemu ya zoezi linaloendelea, mitandao yote ya intaneti itazuiliwa kwa muda wakati wowote na eneo lolote la nchi.”
Picha za Kale Zarejesha Kumbukumbu Nzuri za Mji Mkuu wa Dhaka nchini Bangladesh
"Hapo ndipo nilipokulia hadi nilipokuwa kijana na ninajaribu kupata hisia ya namna siku hizo zilivyokuwa nzuri. Hizo zilikuwa siku njema sana kwa jiji langu pendwa...
Matangazo ya Sauti ya ‘Wiki Ilivyokwenda’ Global Voices: Waliopotea
Wiki hii, tunakupeleka Ecuador, Uganda, Bangladesh, Ukraine na Pakistan.
TAMKO: Global Voices Yatoa Wito wa Kuimarishwa kwa Usalama wa Wanablogu wa Bangladesh
Tunalaani mauaji ya hivi karibuni ya wanablogu na kuzitaka mamlaka husika kuhakikisha kuwa wale wote waliohusika kwenye mauaji haya wanafikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Muandaaji wa Katuni ‘Meena’ Abadilisha Mitizamo ya Watu wa Asia ya Kusini Kuhusu Wasichana
"Since her inception 14 years ago she has shown millions of women and girls what can be achieved."
Mwanamke Aokolewa Kwenye Kifusi Baada ya Siku 17
Siku ifananayo na ile iliyogharimu maisha ya watu mara baada ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa tisa huko Savar pembezoni mwa mji mkuu wa Banglasesh,...
Bangladesh: Waislamu Wadai Wanawake Wabaki Majumbani
Wanachama wa kikundi chenye msimamo mkali cha Kiislamu nchini kimewashambulia wanahabari wa kike waliokuwa wakitekeleza majukumu yao ya kiuandishi wakati kikundi hicho kilipokuwa kikifanya maandamano...
Bangladesh: Jengo Laporomoka, Mamia Wauawa kwenye Vifusi
Janga jingine tena la kiwanda nchini Bangladesh, safari hii jengo la ghorofa tisa lilianguka na kuua zaidi ya watu 142 na watu wengine karibu elfu...