Habari kuhusu GV Utetezi kutoka Oktoba, 2016
Serikali ya Ethiopia Yazima Intaneti ya Simu za Mkononi na Mitandao ya Kijamii
Wale wanaoufuatilia mwenendo wa mambo wanahofia kuwa hatua hii inaweza kuwa dalili ya mwanzo wa hatari kwa maandamano hayo yaliyoendelea kwa miezi 12.
Nchini Tanzania, Kusema Msimamo Wako wa Kisiasa Mitandaoni Inazidi Kuwa Hatari
Tangu Rais John Magufuli ashinde uchaguzi wa Rais mwezi Oktoba 2015, watu 14 wameshakamatwa na kupandishwa kizimbani kwa kutumia mitandao ya kijamii kumtukana Rais