Habari kuhusu Uandishi wa Habari za Kiraia kutoka Disemba, 2012
31 Disemba 2012
Habari za Upotoshaji Kuhusu Afrika Katika Vyombo vya Habari vya Kimataifa
Kampeni ya kumkamata #Kony2012 ilibeba mambo yaliyorahisishwa mno kuhusu Afrika. Vyombo vya habari vya Afrika vyenyewe, hata hivyo, kwa sasa havina kinga dhidi ya ukosoaji...
Mwandishi wa Guinea Atoweka Kiajabu nchini Angola
Yuko wapi Milocas Pereira? Swali hili linarudiwa rudiwa kupitia blogu mbalimbali kwa majuma kadhaa sasa, lakini majibu yamekuwa vigumu kupatikana. Katika mitandao ya kijamii harakati...
30 Disemba 2012
Kitabu-pepe Kipya cha GV: Sauti ya Kiafrika ya Matumaini na Mabadiliko
"Sauti ya Kiafrika ya Matumaini na Mabadiliko", kinakupa mtazamano wa kipekee kuhusu watu na habari za eneo la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kupitia...
Kenya: Kufundisha Uvumilivu wa Kikabila Kupitia Hadithi za Sayansi
Watoto wa Kenya wanafundishwa uvumilivu wa kikabila kupitia hadithi za sayansi: “Kushambuliwa kwa akina Shida:Bunduki za AKA Zaokoa Sayari” ni hadithi inayozungumzia maisha ya jamii...
Chama cha Upinzani NPP Chapinga Matokeo ya Urais Ghana Mahakamani
Chama Kikuu cha Upinzani nchini Ghana, NPP, kimegoma kuyakubali matokeo ya uchaguzi wa Rais. Mnamo tarehe 9 Desemba 2012, Tume ya Uchaguzi ilimtangaza Rais Mahama...
29 Disemba 2012
Matajiri Wakubwa China na Marekani Walinganishwa
Liz Carter kutoka tovuti ya Tea Leaf Nation (Taifa la Jani la Chai) alitafsiri taarifa ya picha ya tovuti ya CN politics [zh] (CN siasa),...
28 Disemba 2012
Assad atumia Ndege ya Kivita Kuwaua Raia Wake
Serikali ya Syria imefanya shambulizi kubwa la angani dhidi ya raia wa nchi hiyo -waliokuwa wamesimama kwenye foleni waisubiri mikate kwenye kiwanda cha kuokea miakte...
27 Disemba 2012
Walimu wa Mauritania Wavunja Ofisi ya Waziri wa Elimu
Kundi la walimu wa sekondari lilivunja na kuingia kwenye ofisi ya Waziri wa Elimu katika maandamano ya kipinga kuhamishwa kiholela kwa walimu wapatao 120 baada...