Habari kuhusu Uandishi wa Habari za Kiraia kutoka Agosti, 2013
Mapigano Yalipuka Msikitini Baada ya Mhubiri Kumlaani el-Sisi
Mapigano, yaliyowekwa kwenye mtandao wa YouTube, yamesambazwa sana na kuzua gumzo kubwa mtandaoni.
Zimbabwe: Robert Mugabe Ashinda Uchaguzi, Atuhumiwa Kuiba Kura
Daftari la wapiga kura la Zimbabwe lilisemekana kuwa na watu milioni mbili waliokufa. Botswana imetoa wito wa kukaguliwa kwa matokeo ya uchaguzi.