Habari kuhusu Uandishi wa Habari za Kiraia kutoka Juni, 2014
Puerto Deseado, Ahera ya Pwani
Kwenye blogu yake Viajes y Relatos, Laura Schneider anasimulia uzoefu wake alipotembelea Puerto Deseado, mji ulioko kwenye Jimbo la Santa Cruz, Ajentina. Katika siku yake ya sita ya safari yake ya kupiga picha, alitembelea na kupiga picha za mji huo mzuri katika maeneo ya karibu: Yendo por la ruta 3,...
Ucheshi na Harakati Kutoka Mexico
JM Casanueva, mwandishi wa blogu ya SocialTIC, anapitia mwelekeo mpya wa harakati nchini Mexico kwenye blogu na kwenye mitandao ya kijamii ambayo inatumia utani kuwafikia watu wengi zaidi: El humor siempre ha sido una táctica exitosa para transmitir causas de manera empática (sí, que alguien que no seas tú o...
Umuhimu wa Haki kwa Wanablogu wa Ethiopia
Justice Matters ni blogu inayoripoti kuhusu kesi ya wanablogu wa Zone9 waliokamatwa na waandishi wa habari nchini Ethiopia kwa ajili ya kutoa maoni yao: Blogu hii ina habari zaidi za hivi karibuni kuhusu jitihada za utetezi, ripoti za vyombo vya habari, na hadhi ya kisheria ya wanablogu wa Zone9 nchini...
Ni Rasmi Sasa, ‘Shoga’ wa Kwanza Kuteuliwa Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu Nchini Puerto Rico
Wakati wengine wakina kuwa usagaji wake si suala la maana, wengine wanasisitiza kuwa hali hiyo ya kimapenzi inahusika katika kile anachokifanya kila siku.
Maandamano ya Kudai Haki ya Kubusu na Barua ya Haki za Mashoga Nchini Cuba
Maandamano ya pili ya Kubusiana ili kutetea Tofauti na Usawa yamefanyika Jijini Havana mwaka huu wakati ambao Mashoga kipindi chenye changamoto kwa Mashoga katika kisiwa hicho.
Mapigano Dhidi ya Waislamu Yaendelea Nchini Sri Lanka
Yametimu majuma mawili tangu ghasia dhidi ya Waislamu kwenye majiji ya pwani nchini Sri Lank- Aluthgama na Beruwala. Ingawa hali imetulia baada ya kulaaniwa sana kila sehemu, bado ghasia hizo dhidi ya Waislamu zinaendelea katika maeneo tofauti ya Sri Lanka. Mwanablogu Abdul Khaleq anatwiti kuhusu tukio moja huko Ratmalana sehemu...
Hadithi ya Wakimbizi wa Njaa kutoka Niger katika Algeria Mashariki
Katika wiki chache zilizopita, mamia ya wahamiaji mwa Jangwa la Sahara kutoka Mali au Niger wamehamia miji ya Algeria katika mpaka wa Mashariki. Liberté Algérie anasimulia hadithi ya wale ambao waliamua kuhama na kwa nini [fr] Les conditions de vie au hangar de la cité Bourroh sont inhumaines. A l’intérieur...
Wanajumuia wa Global Voices Washinda Tuzo za Knight News Challenge za Kuboresha Huduma ya Intaneti
Katika matokeo yaliyotangazwa hivi leo, wanajumuia wawili wa Global Voices waibuka washindi wa shindano la mwaka 2014 la Knight News Challenge.
Uhamaji wa Watoto Wachukuliwa kuwa ni Baa la Kibinadamu
Kutoka Mexico, Katia D'Artigues, ambaye ni mwandishi wa blogu ya Campos Elíseos (Champs Elysées), aandika kuhusiana na watoto kulazimika kuhama wao wenyewe [es], hali inayompelekea kuiita hali hii kuwa ni “baa la kibinadamu”: Son niños que son orillados a cruzar la frontera solos. No lo hacen por aventura, sino porque...
Sababu za Kuishangilia Kodivaa kwenye Kombe la Dunia
Kwenye tovuti ya LaMula.pe, Juan Carlos Urtecho anaeleza sababu zake za kuishangilia Kodivaa kwenye mpambano wa Kombe la Dunia kati ya nchi hiyo na Kolombia siku ya Alhamisi, Juni 19: Desde que les ganaron a Japón en su debut, los marfileños se han vuelto mis preferidos en este mundial. […]...