Habari kuhusu Uandishi wa Habari za Kiraia kutoka Julai, 2016
Hiyo Ndiyo Sababu ya Google Kubadili Majina ya Baadhi ya Miji ya Crimea—na Sasa Inarudisha Majina ya Awali

Kama vile ni miujiza, Google ilibadili ghafla baadhi ya majina ya miji kwenye pwani ya Crimea —kwa kutumia huduma yake ya Ramani za Google
Picha za Kale Zarejesha Kumbukumbu Nzuri za Mji Mkuu wa Dhaka nchini Bangladesh
"Hapo ndipo nilipokulia hadi nilipokuwa kijana na ninajaribu kupata hisia ya namna siku hizo zilivyokuwa nzuri. Hizo zilikuwa siku njema sana kwa jiji langu pendwa la Dacca na siyo Dhaka."
Je, Waziri Mkuu wa Malaysia Ndiye Mhusika Mkuu wa Kashfa ya Ufisadi wa Dola Bilioni Iliyotajwa na Marekani?
"Nina hasira kwamba fedha za wananchi zinatumiwa kama vile ni za mtu binafsi. Hazira yangu inakuwa kali kwa sababu huyu 'Afisa wa Malaysia1' hakamatiki hapa"
Shule Moja Nchini Timor-Lesté Kuwapiga Faini Wanafunzi Wanatakaoongea Lugha Rasmi ya Wenyeji
Wanafunzi ni lazima waongee Kireno wawapo shuleni. Wale ambao "hawataweza kuongea lugha hiyo" watalazimika kukaa kimya. Atakayekamatwa akizungumza lugha tofauti na Kireno "atapigwa faini".
Wananchi wa Uganda Wanataka Serikali Isaidie Kunusuru Shule, Sio Matajiri
Kubinafsisha faida na kuchangia hasara. Lazima wote tuchangie hasara ya biashara za matajiri lakini lini tulichangia faida wanayopata?
Katuni Maarufu ya Ukraini Yaweka Mazingira ya Wazazi Kuzungumzia Usafirishaji Haramu wa Binadamu
Hivi sasa kwapitia mtandao wa YouTube, takribani nusu karne baadae, katuni iliyo kwenye mfululizo uuitwao "Namna Wakulima wa Kirusi..." (How the Cossacks...) zinaonekana kurudia umaarufu wake wa awali.
Maafisa wa Myanmar Waungwa Mkono Mitandaoni Kupinga Kikundi Cha Ki-Buddha Chenye Msimamo Mkali
Alama Ishara ya #NoMaBaTha ilianzishwa kwenye mtandao wa facebook kumwonga mkono Waziri anayeshambuliwa kwa kukipinga kikundi cha msimamo mkali cha ki-Budhha nchini Myanmar.
Ayatollah Khomeini Alifariki Miaka 27 Iliyopita, Lakini Msaidizi wa Trump Anamtaka Alaani Shambulio la Nice Hivi Karibuni
Akiongea kwenye Kituo cha Fox News akiwa na Megyn Kelly, Flynn alisema kwa hasira, “Ninamtaka Imam, au Khomeini, atoke hadharani alaani itikadi hii ya isiyojitenga na damu ya Uislamu."
‘Watu Wanapanda Boti hizo kwa Kuwa Bado Wanahitaji Kuishi’
Kampeni ya uokozi Sos Méditerranée yachapisha kwenye blogu yao maelezo ya watu walioponea chupuchupu wakielekea Ulaya kupitia bahari ya Mediterranean
Kuwa na Shahada Hakukuhakikishii Ajira Nchini China
"Kupata ajira ni kazi ngumu sana kwa kuwa yakupasa kuanguka na kuinuka tena mara nyingi iwezekanavyo."