· Septemba, 2013

Habari kuhusu Uandishi wa Habari za Kiraia kutoka Septemba, 2013

South Korea: Ahadi ya Rais ya Ustawi Iliyoshindwa Yakosolewa

  30 Septemba 2013

Rais Park yuko kwenye wakati mgumu kwa r  ahadi yake aliyoitoa wakati wa kampeni kuwa angepandisha ruzuku ya pensheni gharama za mafunzo. Wakosoaji wanasema kampeni yake iliahidi kinyume na sera yake kama mgombea mhafidhina, ilimsaidia kuzoa kura katika uchaguzi uliopita. Akaunti ya mtandao wa twita wa @metempirics ilikusanya viunganishi vinavyohusika na...

India: Mgombea wa Uwaziri Mkuu na Historia yake ya Uhalifu

  30 Septemba 2013

“Je, mtu anaweza kuwa na historia ya uhalifu na bado akawa Waziri Mkuu wa India?” – anauliza Dr. Abdul Ruff wakati anajadili uteuzi wa kiongozi wa mrengo wa kulia na Waziri Mkuu wa Gujarat Narendra Modi. Ni mgombea wa Uwaziri Mkuu wa chama cha National Democratic Alliance katika uchaguzi mkuu...

Kwa nini Indonesia Haitakiwi Kupandisha Kima cha Chini cha Mshahara

  29 Septemba 2013

Rocky Intan aneleza kwa nini kupandishwa kwa kima cha chini cha mshahara nchini Indonesia kutaathiri uchumi wa nchi hiyo: Viongozi wa kitaifa na wale wa ngazi za chini lazima wapambane na shinikizo la baadhi ya viongozi wa vyama vya wafanyakzi wanaodai kupandishwa kwa kima cha chini cha mshahara. Ongezeko la...

Serikali ya Tanzania Yafunga Magazeti Mawili

  28 Septemba 2013

Serikali jana (terehe 27 Septemba, 2013) ilitangaza kuyafungia magazeti ya Mwananchi na Mtanzania kutokana na kuandika habari na makala zilizoelezwa zina nia ya kusababisha wananchi wakose imani kwa vyombo vya dola na kuhatarisha amani. Taarifa ya kufungiwa magazeti hayo ilisema; Gazeti la MWANANCHI limefungiwa kutochapishwa kwa siku kumi na nne(14)...