Daktari wa Peru ni Miongoni mwa Waathirika Waliopeza Maisha Westgate

Shirika la Habari la Andina limearifu [es] siku ya Jumamosi, Septemba 21, 2013, kwamba daktari wa ki-Peru Juan Jesús Ortiz ni mmoja wa watu waliuawa katika shambulizi la kigaidi lililotokea katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, lilisababisha idadi ya vifo vya watu 59 na wengine 175 wakijeruhiwa.

Hivi ndivyo Periodismo en Línea alivyotwiti habari hizo:

Daktari wa ki-Peru ni mmoja wa wahanga waliopoteza maisha katika shambulio la kigaidi lilitokea Kenya: Wizara ya Mambo ya Kigeni imethibitisha kwamba Juan Jesús Ortiz…

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.