Habari kuhusu Haki za Binadamu kutoka Aprili, 2017
Mwanablogu na Mwanaharakati wa Maldives Yameen Rasheed Auawa kwa Kuchomwa na Kitu chenye Ncha Kali
"Ile inayoitwa" Paradiso ya duniani haihakikishii raia wake usalama. Kesho inaweza kuwa ni mimi, wewe au yeyote miongoni mwetu," aliandika mtumiaji mmoja wa Facebook.
Manusura Wasimulia Kuhusu Hatari za Kuhama Kupitia Jangwa la Sahara
"...most migrants wish to forget and move forward with their lives and therefore tend not to share their experience with peers who are still back home."
‘Kwa nini Siwezi Kumbusu Mpenzi wangu wa Kike Hadharani?’ Simulizi ya Mwanamke Basha wa Armenia
Mwanamke basha aweka bayana historia ya maisha yake na kueleza harakati zake zenye changamoto lukuki za kuwakomboa wasagaji kutoka kwenye jamii ya mfumo dume isiyoamini uhusiano wa kimapenzi wa watu wa jinsia moja.