Habari kuhusu Haki za Binadamu kutoka Januari, 2010
30 Januari 2010
Philippines: “Muswada wa Mkataba wa Ndoa Jadidifu”
Kikundi kimoja cha masuala maalum ya jamii nchini Philippines kinataka kuwasilisha sheria ambayo itaufanya mkataba wa ndoa kuwa na nguvu kwa miaka kumi tu. Pendekezo...
22 Januari 2010
Marekani: Dkt. Martin Luther King, Jr. Akumbukwa
Martin Luther King Jr. alizaliwa tarehe 15 Januari, 1929 na akawa mmoja wa wasemaji na watetezi wakuu wa Harakati za Haki za Kiraia huko Marekani....
17 Januari 2010
Misri: wanablogu Watiwa Mbaroni Kufuatia Kutembelea kwao Naha Hammady
Leo Misri iliwatia mbaroni wanablogu 20 waliokuwa wakitembelea eneo la Naga Hammady huko Misri ya Juu ili kutoa heshima zao kwa watu waliouwawa katika shambulio...
13 Januari 2010
3 Januari 2010
2 Januari 2010
China: Adhabu ya Kifo kwa Akmal, ni Tendo la Kufuta Aibu ya Zamani
Akmal Shaikh, raia wa Uingereza aliyeshtakiwa kwa kuingiza mihadarati kinyume cha sheria nchini China, aliuwawa siku ya Jumanne japokuwa familia yake pamoja na serikali ya...