Habari kuhusu Haki za Binadamu kutoka Oktoba, 2014
GV Face: Mazungumzo na Mwanaharakati wa Bahrain Ambaye Bahrain Isingependa Tumsikie

Bahrain imeingia mwaka wa tatu ya mapambano na wanaharakati. Taarifa za vyombo vya habari vya Kimataifa zinadai maandamano hayo ni mapinduzi yanayoongozwa na Shia dhidi ya utawala wa Sunni, lakini wanaharakati wanasema hayo ni maelezo mepesi.
Uandishi wa Habari Unapokuwa Haitoshelezi

Andiko la mada ambayo inahitaji majibu yanayokidhi, uandishi wa kizamani unaweza silaha inayofaa