Habari kuhusu Harakati za Mtandaoni kutoka Septemba, 2008
21 Septemba 2008
Irani: Redio Zamaneh, Redio ya Mabloga
Redio Zamaneh ni redio ya lugha ya kipersia yenye makao yake huko mjini Amsterdam. Zamaneh ni neno linalomaanisha “wakati” katika lugha hiyo. Redio Zamaneh (RZ)...
12 Septemba 2008
Jordan: Ubloga wa Video wa Malkia Rania
Chombo cha habari cha Blogger Times kinachoendeshwa na mabloga wa Kiarabu, kimemtaja Malkia Rania wa Jordan kuwa bloga maarufu zaidi wa video za kutoka Uarabuni...
6 Septemba 2008
Nia ya Mwanablogu Mmoja Kumsaidia Mtoto Kamba huko Madagaska

Ikiwa unataka kwenda sambamba na habari mpya mpya kutoka Madagaska, inawezekana kabisa ukawa ni msomaji wa Madagascar Tribune. Na kama wewe ni mdau wa gazeti...