Habari kuhusu Harakati za Mtandaoni kutoka Septemba, 2020
Wanafunzi na Mwalimu Wao Watekwa Huko Kaduna Naijeria, Wakati Maharamia Wenye Silaha Wakifanya Vurugu na Mauaji
Maharamia wenye silaha waliowateka wanafunzi wanne na mwalimu wao kutoka Damba-Kasaya, jimbo la Kaduna nchini Nigeria wanadai fedha ili waweze kuwaachilia huru mateka hao
Machapisho Katika Kurasa za Facebook Zachochea Ongezeko la Watu Kukamatwa Huko Bangladesh, Wavuti Waingiwa na Wasiwasi
Watu wawili walikamatwa Mei 14 na 15, kwa sababu ya maoni waliyobandika Facebook. Kukamatwa kwao kumeamsha hasira na wasiwasi katika mitandao ya kijamii huko Bangladesh.