Januari, 2012

Habari kutoka Januari, 2012

Ivory Coast: Mjadala Mkali dhidi ya Chombo cha Habari kilichotumia Picha za Mwanablogu Bila Ruhusa

For the blogger and professional photographer Audrey Carlalie, the Christmas 2011 holidays were marked by the fact that her photos of a celebratory firework display were used by certain Ivorian newspapers without her authorization. Kanigui reports.For the blogger and professional photographer Audrey Carlalie, the Christmas 2011 holidays were marked by the fact that her photos of a celebratory firework display were used by certain Ivorian newspapers without her authorization. Kanigui reports.

Venezuela: Ziara ya Mahmoud Ahmadinejad Yaibua Utata

  25 Januari 2012

Rais wa Iran, Mahmud Ahmadinejad, aliwasili nchini Venezuela Jumapili, Januari 8, katika kituo chake cha kwanza cha ziara ya ya nchi kadhaa za Marekani ya Kusini. Ziara yake imechochea miitiko mikali kweny mitandao ya kijamii, ambako watumiaji wanahoji kama uwepo wake unaweza kuwa na faida yoyote kwa taifa.

Singapore: Maoni ya Waziri Yasababisha Tafrani Mtandaoni

  16 Januari 2012

Fahamu kwa nini sentensi hii “Nilipofanya uamuzi…” imezua tafrani mtandaoni nchini Singapore inayotokana na kauli iliyotolewa na waziri mwandamizi wa nchi hiyo. Hiyo ni kufuatia uamuzi wa serikali kupunguza mishahara ya wanasiasa ambao ni kati ya watu wanaolipwa zaidi duniani.