· Septemba, 2013

Habari kuhusu Sheria kutoka Septemba, 2013

India: Mgombea wa Uwaziri Mkuu na Historia yake ya Uhalifu

  30 Septemba 2013

“Je, mtu anaweza kuwa na historia ya uhalifu na bado akawa Waziri Mkuu wa India?” – anauliza Dr. Abdul Ruff wakati anajadili uteuzi wa kiongozi wa mrengo wa kulia na Waziri Mkuu wa Gujarat Narendra Modi. Ni mgombea wa Uwaziri Mkuu wa chama cha National Democratic Alliance katika uchaguzi mkuu...