· Julai, 2013

Habari kuhusu Sheria kutoka Julai, 2013

China Yawaamrisha Vijana Kuwatembelea Wazazi Wao

Wiki hii, China imeanza kutumia sheria mpya inayowataka watoto waliokwisha fikia umri wa kujitegemea kuwa na mazoea ya kuwatembelea wazazi wao, hali iliyopelekea sheria hii kudhihakiwa na watumiaji wa tovuti ya jukwaa maarufu la wanablogu la China lijulikanalo kama Sina Weibo.

6 Julai 2013