Habari kuhusu Upiga Picha kutoka Julai, 2014
Dunia Yasimama na Palestina: Maandamano Yafanyika Kila Bara
maandamano yamelipuka katika miji mbalimbali duniani kote kuwaunga mkono wa-Palestina na kutoa wito wa kumalizwa kwa mapigano. Hapa ni picha chache za maandamano hayo.
Kuongozeka kwa Vitendo vya Kujichukulia Sheria Mkononi Nchini Senegali
Sada Tangara, mpiga kura na mwanablogu anayeishi Dakar, nchini Senegali aliweka picha-habari inayohusu kuongezeka kwa matukio ya kujichukulia sheria mkononi kwenye mitaa ya Dakar, mji mkuu wa Senegali. Anaeleza mwanzo...