Habari kuhusu Siasa kutoka Mei, 2019
Mwaka Mmoja Baada ya Maandamano wa-Nicaragua Hawaishii Kutaka Ortega Aondoke -Wanataka Mwanzo Mpya
"[Tunahutaji] kuung'oa udikteta, vitendo vya ngono, na tabia nyingine za hovyo zilizopenya kwenye utamaduni wa siasa za nchi hii."
Kwa nini Wakolombia Wazawa Wanaandamana Dhidi ya Rais Ivan Duque?
Wazawa Kolombia wameratibu maandamano ya kitaifa kupinga mpango mpya wa maendeleo wa Rais Duque wakiunganisha nguvu na Wakolombia weusi, wakulima, wafanyakazi na wanafunzi .
Mfanyabiashara wa Slovakia Ashtakiwa kwa Kuamuru Mwanahabari Ján Kuciak na Mchumba Wake Wauawe
"Hii ni hatua kubwa muhimu, na ni nadra kuchukuliwa mwandishi wa habari anapouawa. Tunatarajia kuwa mamlaka zitatekeleza ahadi ya kuhakikisha haki inatendeka dhidi ya wote waliohusika."
Papa Francis Ataitembelea Makedonia Kaskazini Mwezi Mei, Muda Mfupi Baada ya Uchaguzi wa Rais
Mara ya kwanza kwa Papa Francis kutembelea Macedonia Kaskazini
‘Jeshi halijamuua Yeyote,’ Asema Bolsonaro Baada ya Wanajeshi Kupiga Risasi 80 Kwenye Gari la Familia huko Brazil Na Kuua Mtu Mmoja
"Jeshi la watu, na huwezi kuwatuhumu watu kwa mauaji," alisema rais wa Brazil siku sita baada ya tukio lililoishangaza nchi.