Habari kuhusu Siasa kutoka Juni, 2018
Mwandishi wa Habari wa Kashmiri Shujaat Bukhari Auawa kwa Kupigwa Risasi
"Haiwezekani kujua nani ni adui zetu na nani hasa ni marafiki zetu."
Tovuti huru maarufu nchini Tanzania zafungwa kufuatia ‘kodi ya blogu’
"Hii sio tu ni leseni ya kujidhibiti mwenyewe lakini pia ni namna ya kuwa nyenzo ya serikali kuwafuatilia haki ya kiraia ya wengine (wachangiaji) kujieleza."
Miongo Minane Chuki Bado Ipo Kati ya Wajordani na Wapalestina
Ingawa kuishi pamoja kwa watu wawili huwafanya wawe na amani, ushirikiano mkamilifu bado haujawezekana kwenye baadhi ya maeneo ya maisha.