Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Juni, 2015
Abel Wabela: “Kupambana na Hali ya Kutokuchukua Hatua na Kutojali…Hii Ndio Nia Yangu Kama Mwanadamu”

"Maangalizo, vitisho, kukamatwa na mateso hakujanifanya kuacha kutumia haki zangu za msingi za kujieleza," anasema Abel Wabela, mmoja wa wanablogu wa Zone9 wa nchini Ethiopia ambao walifungwa gerezani tangu Aprili 2014.
“Hatuwezi Kukandamiza Utu wa Wengine bila Kuukana utu Wetu Kwanza

Kosa la wanablogu wa Zone9' ati lilikuwa ni kuthubutu kuonesha dhamira yao ya kuupigania "Ubuntu". Waliihamasisha jamii yao kuachana na dhana ya ubinafsi
Wanawake Wanaovaa Nusu Uchi Wataiokoa Sekta ya Utalii Kenya?
Je, kutembea uchi yanaweza kuwa mbinu bora ya kufufua sekta ya utalii nchini Kenya kufuatia mashambulizi ya wanamgambo wa Al Shabaab?: Seneta mteule, Mbura anasemekana kuwaomba wanawake katika mkoa wa...
Afrika Kusini Yakumbuka Mashindano ya Kombe la Dunia 2010 Yalivyokuwa
Mnamo Juni 11, 2010, Afrika Kusini ilikuwa mwenyeji wa mashindano makubwa ya michezo duniani. Ni mara ya kwanza kwa mashindano hayo kufanyika barani Afrika.
Raia wa Uganda Wanataniana kwa Mgogoro ‘wa Kawaida’ wa Awamu ya Tatu Burundi
Maandamano makubwa na mapinduzi yaliyoshindwa vyote vlitokea kwa sababu ya Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kutaka kugombea kwa awamu ya tatu. Rais wa Uganda anaangalia uwezekano wa kugombea muhula wa tano.
Baada ya Maandamano Burkina Faso na Burundi, Naija na Togo Zinafuata?
Wanaija 20,000 wameingia mitaani mjini Niamey, Naija mnamo Juni, 6. Kuna ababu nyingi za maandamano hayo: umaskini uliokithiri, utawala mbovu na kubanwa kwa uhuru wa kujieleza yakiwa ni moja wapo...
Muda Gani Umebaki kwa ‘Marais wa Maisha’ Barani Afrika?
Matukio nchini Burundi na nchi nyinine kama Kongo (DRC), Burkina Faso na Rwanda yameendeleza mjadala wa muda mrefu barani Afrika kuhusu ukomo wa madaraka
Kuhusu Uamuzi wa Mahakama wa Haki ya Kusaidiwa Kufa Nchini Afrika Kusini
Profesa Pierre de Vos anaingia rasmi kwenye mjadala mkali kuhusu uwezekano wa kumsaidia mtu kufa nchini Afrika Kusini baada ya Mahakama Kuu nchini humo kuamua kwamba mtu anayekufa ana haki...
Msemo Wa Blogu ya Zelalem Kiberet: ‘Uache Uhuru Uvume’

Kutokana na upeo wake mkubwa, uandishhi wake wa busara na uchambuzi usiotetereka wa masuala ya dini, marafiki zake walimpatia Zelalem jina la utani la Zola lililotokana na mwandishi maarufu wa Kifaransa, Zola.