Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Julai, 2018
Waganda Wasema Hapana Dhidi ya Kodi ya Mitandao ya Kijamii Kwa Sababu Inawanyonya Wanawake, Vijana na Maskini

Waganda wanasema #HapanaKwaKodiYaMitandaoKijamii kwa sababu iko kinyume na katiba, inaongeza umasikini, inawalenga vijana na inakuza ubaguzi katika jamii.
Kumetokea Nini Kwenye Haki za Kidijitali kwa Miaka Saba Iliyopita? Toleo la 300 la Ripoti ya Raia Mtandaoni Litakueleza

Wiki hii katika kusherehekea toleo letu la 300, tunaangazia miaka saba iliyopita ya habari za haki ya kidijitali duniani!
Ungana na Global Voices Julai 9 Kupinga Kodi ya Mitandao ya Kijamii Nchini Uganda

Uhuru unapatikana bure, hautozwi kodi. Global Voices inaunga mkono kampeni ya kupinga kodi ya matumizi ya mitandao ya kijamii nchini Uganda #NotoSocialMediaTax.
Waganda Wafanya Maandamano ya Amani Mitaani kwa Kuchoshwa na Mauaji ya Wanawake
"Kwa hiyo naandamana, niwakumbuke, hawakupewa haki yoyote na hakuna aliyekamatwa kwa ajili ya vifo hivi vya kutisha. Lakini nawathamini."
Utafiti wa Kwanza wa Kina Kuhusu Unyanyasaji wa Watoto Nchini Madagaska Unaonesha Hali Inatisha
Ripoti inasema asilimia 89 ya watoto wanadai kuathiriwa na unyanyasaji majumbani angalau mara moja wakati asilimia 30 ya vijana kinda wa kike katika Kisiwa cha Madagaska tayari wana mtoto.