Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Januari, 2015
Wanawake wa Kiislam na Kikristo Nchini Nigeria Walivyoungana Kupambana na Misimamo Mikali ya Kidini
Mchungaji Esther Ibanga kiongozi wa ki-Islam Khadija Hawaja walianzisha Mradi wa Wanawake Wasio na Mipaka miaka michache iliyopita kama jitihada za kurudisha hali ya usalama na amani katika jamii zao.
Watu 36 Wauawa, Mtandao wa Intaneti Wafungwa Kongo DRC Kufuatia Maandamano ya Kumpinga Rais Kabila
Ghasia na mapigano kati ya Polisi na waandamanaji wanaopinga hatua ya Kabila kurekebisha sheria ya uchaguzi vimesababisha kuuawa kwa watu 36 nchini Kongo DRC katika kipindi cha siku chache.