· Novemba, 2014

Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Novemba, 2014

Kupambana na Utapiamlo Nchini Rwanda Kupitia Muziki

  17 Novemba 2014

Wanamuziki maarufu wa Rwanda King James, Miss Jojo, Riderman, Tom Close, and Urban Boyz walijiunga na mapambano dhidi ya utapiamlo nchini Rwanda kupitia video ya muziki kwenye mtandao wa YouTube. Video hiyo pia inapatikana kwa maandishi ya Kiswahili .

Siasa za Afya ya Rais Nchini Zambia

  5 Novemba 2014

Ajong Mbapndah wa Pan African Vision anazungumza na Gershom Ndhlovu kuhusu siasa zinazozunguka ugonjwa na kifo cha Rais wa Zambia Michael Sata: Rais Michael Sata siku za hivi karibuni amefariki dunia jijini London na inaonekana afya yake na huduma za tiba alizopatiwa ziligobikwa na usiri, kwa nini wananchi wa Zambia...