· Mei, 2010

Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Mei, 2010

Msumbiji: Kasheshe la Misaada

  24 Mei 2010

Nchi wafadhili zilisitisha kwa muda msaada wa bajeti kwa serikali ya Msumbiji kutokana na hofu za rushwa, na kuwasha cheche za uchambuzi na mjadala kuhusu misaada, rushwa na utawala.