Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Disemba, 2013
Kampeni ya “Kabila Langu ni Sudan Kusini” na “Mimi Nachagua Amani”
Kwa kutumia alama ahabari #MyTribeIsSouthSudan na #iChoosePeace, wananchi wa Sudnai ya Kusini na marafaiki wa watu wa Sudani ya Kusini wanatoa mwito wa amani na umoja katika nchi hiyo.
Mandela na Mao, Hawakushabihiana sana.
Jeremiah kutoka katika studio ya Granite atoa maoni yake kwenye Televisheni ya Taifa ya China, CCTV akitaka kuonesha uhusiano uliokuwepo kati ya Mandela na Mao Zedong: Mandela hakushabihiana sana na...
Soka pekee huigawa Tanzania

Tanzania inajivunia umoja wake wa kikabila na kidini. Lakini siku watani wa jadi wa Dar es Salaam, hisia za mgawanyiko huwa bayana baina ya mashabiki
“Mimi ni Mchuuzi Mjerumani Mjini Dakar”
Muda mfupi baada ya kuwasili kwangu Senegal, nilikutana na kijana. Alinieleza hamu yake ya kuondoka Senegal katika mkutano wetu wa kwanza. Nilitaka kuelewa yaliyosababisha hamu yake ya kuondoka na hali...
#Mambo52KuhusuTanzania katika Kusherekea Miaka 52 ya Uhuru
Tanzania Bara ilisherehekea miaka 52 ya uhuru wake tarehe 9 Desemba, 2013. Katika kusherehekea siku hiyo, alama habari ya #Mambo52KuhusuTanzania ilitumika kushirikishana takwimu na mambo halisi kuhusu nchi hiyo.
Wanafunzi 3,000 Wafanya Maandamano dhidi ya Mageuzi ya Elimu Nchini Gabon
Mageuzi ya mfumo wa elimu yaliahirishwa [fr] nchini Gabon baada ya walimu na wanafunzi kuandamana pamoja kwa maandamano. Katika mapendekezo ya mageuzi, mitihani ya mwisho ili kupata diploma ya shule...
Wanaijeria Wamkumbuka Nelson Mandela
Nelson Mandela, mzalendo mpendwa na mshindi wa tuzo ya Amani ya Nobel, amefariki Desemba 5, 2013. Wanaijeria wanakumbuka kumbumbuku iliyoachwa nyuma na Rais huyo wa kwanza wa Afrika Kusini
Hekima 17 za Nelson Mandela Zinazofaa Kusomwa na Kila Mmoja
Nelson Mandela, Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, anaendelea kuzungumza na ulimwengu kupitia watumiaji wa mtandao wa twita waliopokea taarifa za kifo chake kwa kusambaza nukuu za maneno yake ya kukubukwa.
Mkutano: Kutengeneza Dunia Halisi ya Sauti za Dunia kwa Hadhira Halisi

Katika toleo hili la GV Face tunakutana na jopo la magwiji wa wawezeshaji wa mikutano ya Global Voices kutoka Misri, Pakistan, na Ureno.