Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Juni, 2016
Kwa nini Kila Mtu Nchini Madagaska Anafanyia Mzaha Mananasi
Mjadala wa Mananasi nchini Madagaska ni zaidi ya ujuavyo.
Raia Mwingine wa Tanzania Asomewa Mashtaka kwa Ujumbe wa Whatsapp ‘Unaomtukana’ Rais

Mulokozi ni mhanga mwingine wa Sheria ya Makosa ya Jinai nchini Tanzania, inayojaribu kukabiliana na masuala kama picha za ngono kwa watoto, udhalilishaji wa mtandao, matumizi mabaya ya taarifa binafsi za watu na kuchapisha taarifa za uongo.
Matangazo ya Sauti ya ‘Wiki Ilivyokwenda’ Global Voices: Ndugu, Timiza wajibu Wako
Wiki hii tunakupeleka Urusi, India, Madagascar, Venezuela na Singapore.
‘HiviSasa’, Mradi wa Uandishi wa Kiraia Nchini Kenya kwa Ajili ya Tovuti za Simu

"Inapatikana kirahisi, inavutia watu wa makundi tofauti, ina uwazi na kumwezesha mwananchi na serikali ujumla. Wananchi wenye taarifa sahihi hufanya maamuzi bora na sahihi kwa ajili ya maisha yao na kwa serikali yao."
Mwanaume wa Tanzania Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Mitatu Jela kwa “Kumtukana” Rais kwenye Mtandao wa Facebook

Hukumu hii inakuja baada ya Sheria ya Makosa ya Jinai ya Tanzania kupitishwa mwaka 2015, ambayo wakosoaji wengi wanasema inawapa polisi mamlaka makubwa bila udhibiti wowote
Mtazamo wa Tamasha la Kwanza la WanaBlogu na Vilogu wa Barani Afrika Lililofanyika Huko Dakar, Senegal
Kwa siku mbili, wanablogu na wanavilogu maarufu barani Afrika, wakiambatana na wadau kadhaa wa teknolojia barani Afrika walikuwa na majadiliano ya namna ya kuboresha kazi zao
Mwanaume wa Uganda Aswekwa Rumande kwa Kuvaa Tisheti Yenye Picha ya Kiongozi wa Chama cha Upinzani
Je tunaweza kutoka na kusema kwa sauti kuwa hii sio demokrasia kwa sababu sio? Tisheti Upuuzi gani!? Kwa nini msituweke wote kwenye magwanda yenu ya njano sasa?
Namna Posti ya Blogu Ilivyobadilisha Maisha ya Mama wa ki-Somali Mwenye Watoto Nane
Wasomaji waguswa na habari na kuchanga zaidi ya dola za Marekani 4,000 ndani ya siku moja