Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Machi, 2019
30 Machi 2019
Umri Mkubwa, Hotuba Za Chuki Uhuru wa Habari: Ajenda Kuu Katika Uchaguzi wa Rais Nigeria 2019
Katikati ya sintofahamu ya kampeni za uchaguzi wa Naijeria — mitaani na mitandaoni — hapa ni baadhi ya masuala yanayoweza kusahaulika katika uchaguzi wa mwaka...
22 Machi 2019
Wanawake Wanaongoza Maandamano Nchini Sudan
“Wanawake wako mbele, kushoto, na katikati mwa mapinduzi. Maandamano yalipoanza, watu walidai, "Wanawake wangebaki nyumbani.' Lakini sisi tulisema — hapana.”
20 Machi 2019
Kimbunga Chasababisha Uharibifu Mkubwa Zimbabwe na Nchi za Kusini mwa Afrika
"Inasikitisha maisha ya watu yamepotea na mali zimeharibika."
18 Machi 2019
Je, Felix Tshisekedi Atamaliza Machafuko Katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo?
President Felix Tshisekedi alisema kwamba hatua ya mahakama kuthibitisha ushindi wake ilikuwa ni ushindi kwa nchi yote na aliahidi kujenga taifa la umoja, amani na...
Wanaharakati Watafuta Majibu, Mwezi Mmoja Baada ya Uchunguzi wa Kifo cha Aliyekuwa Mwandishi wa Habari.

Divela aliiambia asasi ya kuwalinda Waandishi (Committee to Protect Journalists) kupitia ujumbe wa WhatsApp kwamba "vigogo nchini Ghana walikuwa wanatafuta namna ya kumdhuru"
15 Machi 2019
Tunaelewa Nini Kuhusu Uchaguzi Mkuu Ujao Nchini Msumbiji?
Mnamo Oktoba, 2019 Msumbiji itachagua magavana wake kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo. Kabla ya uchaguzi huu, magavana hawa waliteuliwa na rais.