· Machi, 2015

Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Machi, 2015

Makampuni ya Teknolojia Nchini Kenya Yaliyofadhiliwa Mwaka 2014

  7 Machi 2015

Je, unayajua makampuni ya teknolojia nchini Kenya yaliyopata ufadhili kwa mwaka 2014? Erik Hersmann anayaorodhesha kwenye blogu yake: Fedha za mtaji wa awali Angani – Huduma za mtandao wa umma wa kompyuta BRCK – Huduma za mtandao wa Si-Waya za WiFi CardPlanet – Mfumo wa malipo kwa njia ya simu...

Shambulio la Kigaidi Laua Watu Watano Mjini Bamako

  7 Machi 2015

Shambuliko la kigaidi lilitekelezwa kwenye mgahawa jijini Bamako, makao makuu ya Mali, limechukua maisha ya watu watano usiku wa siku ya Ijumaa mnamo Machi, 6. Shambulio hilo lilifanyika usiku wa maneno kwenye mkahawa unaoitwa took Terrasse kwenye mitaa ya Bamako na watu zaidi ya kumi wamejeruhiwa vibaya. Washukuiwa wawili wamekamatwa...