Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Februari, 2016
Rais Mzee Kuliko wote Duniani, Robert Mugabe wa Zimbabwe Atimiza Miaka 92
"Nimeshafariki mara nyingi. Nimempita hata Yesu Kristu aliyekufa mara moja tu."
Mfahamu Fish, Mkazi Katika Kambi Kubwa ya Wakimbizi Duniani
Miaka 23 akiwa kama mkimbizi katika kambi ya Dadaab, Abdullah "Fish" Hassan alitoroka kambini hapo kutokana na machafuko, hata hivyo, watoto wake wa kike bado wangalipo kambini hapo
‘Uganda ni Chungu Kinachotokota': Kukamatwa, Udanganyifu na Kufungwa kwa Mitandao ya Kijamii Vyatawala Uchaguzi
"Winning an election through hook and crook while clobbering your fellow countrymen should never be a proud moment!"
Nguvu ya Mitandao ya Kijamii Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Uganda, 2016
"Uhuru wa kujieleza unaambatana na wajibu wake. Kuna wakati upotoshaji hutokea wakati wa kutoa taarifa na kwenye kuchangia maoni kupitia mitandao ya kijamii."