Habari kuhusu Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara kutoka Machi, 2014
Teknolojia ya Kiafrika: Mradi wa TechAfrique Watathmini Hatua Iliyofikiwa
Le continent africain apparaît comme la nouvelle frontière mondiale du développement numérique. Ce développement provoque une nouvelle impulsion entrepreneuriale en Afrique, et notamment en Afrique francophone. Mais ce potentiel reste très largement méconnu en Europe ainsi qu'en...
Kupunguza Pengo Kati ya Matajiri na Masikini wa Bara la Afrika
"Wengine wanapanda ndege kupata matibabu ya 'aleji', wakati wengine wanatumia mizizi ya mitishamba kwa sababu tu hawawezi kumudu matibabu ya kawaida kabisa ya malariat."
Je, Afrika Kusini ni ‘Nchi Iliyokwama'? Ndivyo Alan Dershorwitz Anavyofikiri
Mwanasheria wa Kimarekani na mchambuzi wa mambo ya kisiasa Alan Dershorwitz amewatia hasira Waafrika Kusini kwa kuielezea nchi yao kuwa ni 'nchi iliyokwama' katika mahojiano alyoyafanya na Piers Morgan.
Machafuko Nchini Burundi kabla ya Uchaguzi wa Rais
Angalau kumekuwa na makala 19 ya matukio ya vurugu tangu mwanzo wa 2014 nchini Burundi kabla ya uchaguzi wa rais vituo vya machafuko juu ya marekebisho ya katiba iliyopendekezwa na...
Maadhimisho ya Miaka Miwili ya Kampeni ya Kony 2012
Machi 5, 2014 ni siku ambayo maandimisho ya miaka miwili ya kampeni ya KONY 2012 yalifanyika: Miaka miwili iliyopita tulianzisha kampeni inayoitwa KONY 2012. Ilikuwa ni jaribio la kuona kama...
Mwongozo wa Kilimo cha Uyoga Nchini Kenya
Huu ni mwongozo hatua kwa hatua wa kilimo cha uyoga nchini Kenya: Kutokana na mahitaji ya umma, sisi tulichukua mpango wa kuandaa mwongozo wa kusaidia wakulima wenye nia ya kuanzisha...
Pigia kura Blogu ya Kenya Uipendayo
Zoezi la upigaji kura limeanza kwa ajili ya Tuzo za Blogu nchini Kenya kwa mwaka 2014: Chama cha wanablogu wa Kenya (BAKE) hii leo [3 Machi 2013] kilizindua zoezi la...
Kuchanwa kwa Korani Kwaleta Tafrani Nchini Mauritania
The Mauritanian capital Nouakchott witnessed violent clashes between security forces and an angry crowd after people tore up a copy of the Quran. One person was killed in the clashes.
Mkutano wa Wanawake wa Nchi Zizungumzao Kifaransa 2014 Wafunguliwa Kinshasa, DRC
Mkutano wa wanawake wa nchi zizuingumzao Kifaransa 2014 [fr] Unafunguliwa leo jijini Kinshasa, DRC. Huu ni mkutano wa pili kufuatia ule uliofanyika Paris mwaka 2013. Wakati ule wa kwanza ulijikita katika...