· Septemba, 2014

Habari kuhusu Uandishi wa Habari za Kiraia kutoka Septemba, 2014

Surprising Europe: Mkusanyiko Huru wa Simulizi za Uhamiaji

  9 Septemba 2014

Jukwaa huru la mtandaoni linalozikusanya na kuziweka pamoja simulizi na video za wahamiaji kutoka Afrika. An online platform that brings together African immigrants' stories and videos, unabridged. NI mradi unaosaidia kukabiliana na unyanyasaji na unyanyapaa pamoja na kuwaongezea watu ufahamu kuhusiana na wahamiaji hawa.

Habari Mpya za Mgogoro wa Kisiasa Lesotho Kupitia Twita

Mfuatilie @nthakoana (Nthakoana Ngatane) kupata habari mpya zinazohusu mgogoro wa kisiasa nchini Lesotho. Nthakoana Ngatane ni mwandishi, msemaji, mwimbajii, mwigizaji na mwakilishi wa SHirika la Habari la Utangazaji la Afrika Kusini nchini Lesotho. Mnamo tarehe 30 Agosti 2014, Waziri Mkuu wa Lesotho Tom Thabane alidai kulikuwa na jaribio la kumpindua...

Je Kulikuwa na Jaribio la Mapinduzi Nchini Lesotho?

Sikiliza sauti inayoelezea kile hasa kinachoendelea nchini Lesotho kufuatia madai ya mapinduzi ya kijeshi: Waziri mkuu amekimbilia nchini Afrika Kusini na anasema ni mapinduzi ya kijeshi. Jeshi la Lesotho linasema sio mapinduzi. Siasa zinazua utata. African Defence Review inazungumza na KRISTEN VAN SCHIE wa SADC na mwandishi DARREN OLIVIER kuuliza...

Nzige Wavamia Mji Mkuu wa Madagaska

#valala pic.twitter.com/YHzOx5Q8QU — Vaintche Rahouli (@vincraholi) Agosti 28, 2014 Watumiaji-mtandao wa Twita na Facebook kutoka mji mkuu wa Madagaska, Antananarivo, wamepachika picha kadhaa za nzige wakivamia mji. Uvamizi wa nzige sio tukio la ajabu nchini Madagaska, hasa baada ya dhoruba za kitropiki, lakini sio kawaida katika miji mikubwa. Nzige wanaweza...