Habari kuhusu Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini kutoka Juni, 2016
Watu Wasiopungua 42 Wafariki Dunia Kufuatia Shambulio la Uwanja wa Ndege Istanbul
Serikali inawalaumu magaidi wa ISIS kwa shambulio hilo. Wananchi na hoteli za miji mikuu nchini Uturuki zimewakaribisha wasafiri waliokwamba kufuatia mashambulio hayo
Mfungo wa Radhamani Wawafanya Wakimbizi wa Kiislamu Nchini Uturuki Wakumbuke Nyumbani
Serikali ya ugiriki inafanya jitihada za kuwasaidia wakimbizi wa ki-Islam wakati huu wa Ramadhani,lakini kwa wale waliokwama kipindi hiki kinawakumbusha maisha ya furaha nyumbani
Mtazamo wa Tamasha la Kwanza la WanaBlogu na Vilogu wa Barani Afrika Lililofanyika Huko Dakar, Senegal
Kwa siku mbili, wanablogu na wanavilogu maarufu barani Afrika, wakiambatana na wadau kadhaa wa teknolojia barani Afrika walikuwa na majadiliano ya namna ya kuboresha kazi zao
Matangazo ya Sauti ya ‘Wiki Ilivyokwenda’ Global Voices: Mashujaa Wasiofahamika
Wiki hii, tunaelekea hadi Bosnia na Herzegovina, Japan na Myanmar