· Juni, 2012

Habari kuhusu Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini kutoka Juni, 2012

Misri: Yatambulisha Kipimio cha Morsi

  26 Juni 2012

Baada ya miaka 32 ya Hosni Mubarak, Misri imepata rais mpya Mohamed Morsi, na pia kitumizi cha kufuatilia utendaji pamoja na maendeleo ya kutimiza ahadi kuu 64 alizozitoa rais huyo mteule wakati wa kampeni za uchaguzi nchini humo.

Misri: Maandamano ya Kukomesha Udhalilishaji wa Kijinsia Yavamiwa

  12 Juni 2012

Maandamano kudai kukomeshwa kwa udhalilishaji wa kijinsia yaligeuka kuwa shubiri baada ya wanawake waliokuwa wanahusika nayo kuvamiwa na kundi la wanaume wenye hasira kwenye viwanja vya Tahrir leo(June 8, 2012). Watu walioshuhudia tukio hilo walielezea maoni yao kupitia twita.