· Juni, 2012

Habari kuhusu Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini kutoka Juni, 2012

Misri: Yatambulisha Kipimio cha Morsi

Baada ya miaka 32 ya Hosni Mubarak, Misri imepata rais mpya Mohamed Morsi, na pia kitumizi cha kufuatilia utendaji pamoja na maendeleo ya kutimiza ahadi kuu 64 alizozitoa rais huyo mteule wakati wa kampeni za uchaguzi nchini humo.

26 Juni 2012

Sudani: Watumia Mtandao Wathibitisha Tetesi za Kukatwa kwa Intaneti

Raia wa kwenye mtandao wanaifuatilia kwa karibu Sudani, kufuatia tetesi kuwa serikali ya Sudani inadhamiria kuukata mtandao wa intaneti - hatua inayokumbushia jaribio la Misri kuwanyamazisha wanaharakati na kuthibiti mapinduzi ya Januari 25 pale ilipoondoa uwezekano wa watu kuwasiliana kwa mtandao wa intanenti mnamo Januari 27.

24 Juni 2012