· Oktoba, 2013

Habari kuhusu Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini kutoka Oktoba, 2013

Rafiki Yangu Anateswa kwa Ku-blogu

GV Utetezi

Safy ni mtu wa kawaida aliyewahi kufanya kazi kama afisa wa Teknohama mpaka aliposhuhudia rafiki yake akipigwa risasi na polisi wa kutuliza ghasia wakati wa majuma ya mwanzo ya mapinduzi. Hakuweza kuendelea kuwa "mtu wa kawaida" baada ya tukio hilo.

5 Oktoba 2013

GV Face: Wanawake Nchi Saudi Arabia Wanuia Kuendesha

GV Face

Katika toleo la GV Face wiki hii, tunakutana na mwanablogu wa Jeddah na mwandishi Tamador Alyami anayeunga mkono kampeni ya #WanawakeWataendesha, Hadeel Mohammed, Mwandishi wetu wa Saudia anayeishi Dammam na Mhariri wetu wa Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini Amira Al Hussaini

5 Oktoba 2013