Habari kuhusu Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini kutoka Oktoba, 2015
Kampeni ya ‘Alaa Aachiwe’ Yashika Kasi Mwaka Mmoja Baada ya Kufungwa Kwake

Alaa Abd El Fattah ametumikia mwaka mmoja kwa sababu ya uanaharakati wake. Amebakisha miaka minne. Watumiaji wa mitandao wanapiga kelele wanapoadhimisha mwaka mmoja wa kifungo chake wakidai aachiliwe huru.
Wasiwasi wa Usalama wa Mfungwa wa Syria, Aliyehamishwa Kwenda Kusikojulikana

Wanaharakati wanaitaka serikali ya Syria kumwachia huru mara moja mwanablogu mfungwa mwenye asili ya Syria na Palestina Bassel Khartabil (Safadi) baada ya kuhamishwa mapema leo kutoka kwenye gereza alilokuwepo kwenda kusikojulikana.
‘Simulizi ya Kimapenzi ya Syria’ yafuatilia Safari ya Familia Ikiwa Vitani na Uhamishoni
“Nafikiri ujumbe wa matumaini upo kwenye ujasiri usio na kificho— ujasiri ulio dhahiri wa familia moja, ambao kila mwanafamilia ameupitia.”