Habari kuhusu Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini kutoka Mei, 2009
Tajiri Wa Kimisri Ahukumiwa Kifo
Wamisri walishuhudia hukumu isiyotarajiwa katika historia ya vyombo vya sheria nchini humo: Bilionea Hesham Talaat Moustafa, pamoja na mamluki wake (mpiga risasi wa kukodi) Mohsen...
Saudi Arabia: Je, mafua ya nguruwe yatatishia Hija?
Kila mwaka mamilioni ya Waislamu hukusanyikia Maka kuhiji, moja ya nguzo tano za Uislamu. Je, msimu wa hija ya mwaka huu utatishiwa na homa ya...